Zifahamu Faida Mbalimbali za Tangawizi Katika Mwili Wako


Hicho ni kiungo kinachotokana na mzizi wa mmea unaoitwa Tangawizi. Ni mmea unaofanana sana na binzari, ikiwa bado haijamenywa maganda yake.
Zifahamu Faida Mbalimbali za Tangawizi Katika Mwili Wako


Pia, ni bidhaa inayopatikana nchi nzima kwa bei nafuu kabisa na kila mtu mwenye uwezo wowote wa kiuchumi, anaweza kununua aidha kwa kipande kimoja, fungu au hata kilo akipenda.



Hivi karibuni akiwa mbunge wa Same Mashariki, Anne Kilango, ambaye sasa ni mbunge wa Viti Maalum (CCM), aliendesha kampeni kubwa ya uzalishaji wa tangaweizi wilayani humo, ikiwa sehemu ya zao la biashara.



Mmea huo unaweza kuonekana kama wa kawaida na watu kuutumia tu katika mtindo wa mazoea, lakini ni kiungo kinachotumiwa kama dawa.



Pia, kiungo hicho kinaweza kutumika kikiwa ama kibichi au kimekaushwa na kutengenezwa katika mfumo wa unga.



Faida zake



Tangawizi ni kati ya mimea mingi yenye maajabu. Unaweza kutumika kama dawa na kutibu magonjwa zaidi ya 72 mwilini mwa mwanadamu.



Ina faida zaidi hasa kwa wagonjwa walioathirika na maambukizi ya Ukimwi. Hivyo, kwa wale wenye matatizo ya aina hiyo, wanaweza kufaidika zaidi na maaajabu ya mmea huo - tangawizi.



Namna ya kutumia katika nafasi yake ya dawa, ikiwa imesagwa au mbichi imepondwa, inaweza kutumika kama kinywaji na imezoeleka kwa watu wengi.



Namna rahisi ya kuitumia tangawizi ni katika chai. Inakuwa mbadala wako wa majani ambayo yenyewe huwa na vimelea vya kafeini, ambavyo vinachangia magonjwa mengi mwilini.



Pia, inaweza kutumika katika vyakula hasa nyama na mboga zingine, kuongezwa katika ‘juisi freshi’ na kuleta ladha nzuri ambayo ni dawa.



Kuna mambo yafuatayo yanatokana na matumizi ya tangawizi:



-Kuongeza hamu ya kula.
-Kupunguza kichefuchefu.
-Kutapika na kuharisha.
-Inatibu kisukari.
-Shinikizo la damu.
-Kuongeza msukumo wa damu.
-Kutoa sumu mwilini.
-Maumivu ya tumbo.
-Gesi tumboni.



Pia,tangawizi inasaidia kuyeyusha chakula tumboni mwa binadamu. Vilevile, ina nafasi ya kusaidia matatizo ya mafua na magonjwa mengineyo.

Maoni

  1. Nataka kutoa ushuhuda kuhusu jinsi nilivyopona kutokana na Virusi vya Herpes. Miezi michache iliyopita nilikuwa na dalili kadhaa. Nilienda kumuona daktari na vipimo vingi vya damu vilifanywa kwangu, baadaye niliambiwa nilikuwa na Herpes. Daktari wangu aliniambia kwamba hakuna tiba ya Herpes. Nilijisikia vibaya, niliingia mtandaoni nikitafuta tiba inayowezekana ya Virusi vya Herpes, niliona chapisho la Dkt. Dawn, daktari wa mitishamba anayewasaidia watu kupona kutokana na Herpes. Saratani. VVU na mengineyo. Niliwasiliana naye na kumwambia jinsi ninavyohisi. Alisema dawa yake ya mitishamba inaweza kuniponya. Alinitumia dawa kupitia huduma ya utoaji wa UPS na nilipokea dawa siku 6 baada ya kuituma, nilichukua dawa kama alivyoniagiza. Kabla sijakamilisha dawa dalili zilisimama. Nilienda kwa daktari na kufanya kipimo kingine cha damu, cha kushangaza nilikuwa hasi. Sijapata dalili tena. Dkt. Dawn ni mzuri na unaweza
    kuwasiliana kwenye WhatsApp: +2349046229159
    Gmail ( dawnacuna314@gmail.com )

    Ikiwa unahitaji dawa za mitishamba kutibu magonjwa yoyote sugu au ya zinaa kama.
    HERPES.
    SARATANI.
    VVU/UKIMWI na zaidi

    JibuFuta

Chapisha Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

Fanya hivi kujitibu ugonjwa wa Vidonda vya Tumbo

Hizi Hapa Faida na Maajabu Yanayotokana na Kunywa Maji ya Uvuguvugu Kila Asubuhi